Vortragsreihen

Swahilisprachige Veranstaltungsreihe Sommer 2026

Vortragsreihe

Wajuzi waheshimiwa, wapendwa wanafunzi na marafiki zetu,
Baada ya muda mrefu wa mapumziko, ni furaha yetu kubwa kuwatangazia ratiba ya muhula huu mpya wa Baraza la Kiswahili la Berlin (BALAKI-BE). Tunatarajia kuwa na vikao vitatu kipindi hiki. Tafadhali zingatieni tarehe zifuatazo: 

  • 4 Mei 2026, Jumatatu saa kumi na robo (saa kumi na moja na robo za Afrika Mashariki) Dkt. IZABELA ROMAŃCZUK wa Chuo Kikuu cha Warsaw, Uzinduzi wa Kitabu: ‘Riwaya za Kiswahili za Waandishi Wanawake wa Tanzania: Wakala, Mapokeo na Mabadiliko’ (2025)
  • 08 Juni 2026, Jumatatu, saa kumi na robo (saa kumi na moja na robo za Afrika Mashariki)
    Prof. AMANDINA LIHAMBA wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, (Mada inasubiriwa) 
  • 06 Julai 2026, Jumatatu, saa kumi na robo (saa kumi na moja na robo za Afrika Mashariki).
    Taarifa za mwasilishaji na mada bado hazijathibitishwa 

Vikao vyote vitafanyika kupitia Zoom. Matangazo na viunganishi vitasambazwa kabla ya kila kikao. 


KARIBUNI NYOTE! 

Veranstaltungen zur Vortragsreihe

Vortragsreihe

Montag, 04. Mai 2026
16:15 Uhr

online

Vortragsreihe

Montag, 08. Juni 2026
16:15 Uhr

online

(Mada inasubiriwa)

Prof. AMANDINA LIHAMBA wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Vortragsreihe

Montag, 06. Juli 2026
16:15 Uhr

online